Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

"Tutaandamana Rais Kikwete akisaini nyongeza ya posho kwa wajumbe wa Bunge la Katiba"...TUCTA

$
0
0
Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (Tucta), limeazimia kuongoza maandamano kote nchini, kama Rais Jakaya Kikwete ataridhia nyongeza ya posho kwa wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba.    Viongozi wa Tucta mkoani Dodoma walisema kitendo cha wajumbe hao kulilia nyongeza ya posho kimewagusa mno na kimelifanya shirikisho hilo kutokuwa na imani na wajumbe hao.   Hadi sasa hakujawa

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>