Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Benki ya dunia yabana misaada kwa Uganda ikiwa ni siku chache tu baada ya Rais Yoweri Museveni kuidhinisha sheria mpya dhidi ya USHOGA

$
0
0
Benki ya dunia imebana msaada wa dola milioni 90 kwa Uganda , siku chache tu baada ya Rais Yoweri Museveni kuidhinisha sheria mpya dhidi ya mapenzi ya jinsia moja.   Sheria iliyoidhinishwa na Rais Yoweri Museveni, ilitiwa saini Jumatatu na inatoa adhabu kali kwa watu wanaoshiriki mapenzi ya jinsia moja.   Wafadhili wengine tayari wameanza kusitisha misaada Uganda. Wahisani kama

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>