Kampuni ya Strabag
International GmbH inayotekeleza ujenzi wa barabara ya Morogoro kuanzia
Kimara hadi Kivukoni hapa jijini Dar es Salaam imetakiwa kuhakikisha
kuwa inakamilisha ujenzi wa sehemu hiyo ndani ya kipindi cha miezi sita
ijayo kama mkataba wao unavyoelekeza.
Waziri wa Ujenzi Mhe.
Magufuli alitoa agizo hilo wakati akiwa katika ziara ya kukagua
maendeleo ya mradi wa
↧