Tume ya taifa ya uchaguzi imetangaza ratiba ya uchaguzi mdogo wa jimbo
la CHALINZE.Mtakumbuka kuwa jimbo hilo limekuwa wazi baada ya aliyekuwa
mbunge wa jimbo hilo bwana Said Bwanamdogo kufariki dunia tarehe 22
Januari 2014 kwenye hospitali ya MOI jijini Dar es Salaam.
Ratiba ya uchaguzi kwenye jimbo hilo iko kama ifuatavyo:-
Uteuzi wa wagombea - Tarehe 12 Machi 2014
Kampeni na
↧