Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Tume ya taifa ya uchaguzi yatangaza Ratiba ya Uchaguzi mdogo wa Ubunge katika jimbo la Chalinze

$
0
0
  Tume ya taifa ya uchaguzi imetangaza ratiba ya uchaguzi mdogo wa jimbo la CHALINZE.Mtakumbuka kuwa jimbo hilo limekuwa wazi baada ya aliyekuwa mbunge wa jimbo hilo bwana Said Bwanamdogo kufariki dunia tarehe 22 Januari 2014 kwenye hospitali ya MOI jijini Dar es Salaam.   Ratiba ya uchaguzi kwenye jimbo hilo iko kama ifuatavyo:- Uteuzi wa wagombea - Tarehe 12 Machi 2014 Kampeni na

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>