Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Taarifa ya Wizara kuhusu hali ya uzalishaji, upatikanaji, na uhakika wa chakula nchini

$
0
0
 JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA KILIMO CHAKULA NA USHIRIKA Hali ya uzalishaji, upatikanaji na uhakika wa chakula nchini imeendelea kuwa ya kuridhisha katika maeneo mengi ya nchi kufuatia mavuno mazuri ya msimu wa kilimo wa 2012/2013 ambayo mazao yake yanaendelea kuingia sokoni kutoka maeneo mbalimbali ya nchi. Uzalishaji wa mazao ya chakula katika msimu wa kilimo wa 2012

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>