Katibu wa NEC Itikadi na
Uenezi Nape Nnauye akiangalia matembezi ya mshikamano wakati yakiingia
uwanjani kabla hajaanza kuhutubia wakazi wa Shinyanga mjini.
Wakazi wa Shinyanga
mjini wakiwa na Furaha ya kuwakaribisha wanachama wapya ambao walikuwa
madiwani kwa kupitia Chadema ambao tarehe 25 walijiuzuru na tarehe 26
Februari 2014 kujiunga na CCM.
Zakaria Martin Mfuko
↧