Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

AJABU.......... Mwanamke mmoja mkazi wa Tanga akamatwa Pemba akiwa na Miharadati

$
0
0
 picha na maktaba Na Masanja Mabula, PEMBA — JESHI la Polisi Mkoa wa Kaskazini Pemba, linamshikilia mwanamke mmoja anayefahamika kwa jina la Mwanaisha Kiyaka Ayoub (30) mkaazi wa Pande Tanga na Chake Chake kwa tuhuma za kupatikana na mafurushi ya bangi. Akizungumza na mwandishi wa habari hizi kwa niaba ya kamanda wa Polisi Mkoa huo, Mrakibu Mwandamizi wa Polisi, Mlenge Mohammed

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>