Itakumbukwa kwamba tarehe 19 Februari 2014 Mwenyekiti wa Muda wa Bunge
Maalum Pandu Kificho aliteua Kamati ya Wajumbe ishirini yenye uwakilishi
wa makundi yote yanayounda Bunge Maalum kwa ajili ya kumshauri kuhusu
Rasimu ya Kanuni za Bunge Maalum.
Rasimu ya kwanza ya Bunge Maalum iliandaliwa na Kamati ya Maandalizi
chini ya Katibu wa Bunge la Jamhuri ya Muungano na Katibu wa Baraza la
↧