Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Mamia wamuaga Balozi Kazaura jijini Dar es Salaam

$
0
0
Rais Mstaafu, Benjamin Mkapa alikuwa miongoni mwa maelfu ya waombolezaji waliofika katika ibada ya kuaga mwili wa Balozi, Fulgence Kazaura aliyefariki dunia mwishoni mwa wiki akiwa katika matibabu nchini India.    Ibada hiyo ilifanyika katika Kanisa Katoliki la Mt Peter, Oysterbay jijini, na kuhudhuriwa na viongozi wa chama na Serikali, mabalozi mbalimbali Tanzania waliokuwa

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>