Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Sheikh Ponda agonga mwamba tena Mahakamani.....Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP) awasilisha pingamizi akiitaka mahakama itupilie mbali mbaombi yake

$
0
0
Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP), ameendelea kuweka pingamizi dhidi ya Katibu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislam Tanzania, Sheikh Issa Ponda akipinga maombi yake ya kufanya marejeo ya uamuzi wa Mahakama ya Hakimu Mkazi Morogoro.    Sheikh Ponda anakabiliwa na kesi ya jinai katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Morogoro, akidaiwa kufanya uchochezi maeneo mbalimbali mkoani humo na kukaidi amri ya

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>