Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

CHADEMA Majanga tena: Madiwani wake wawili wajiuzulu, Wachana kadi za chama na kuhamia CCM

$
0
0
Madiwani  wawili wa Chama cha  Demokrasia na Maendeleo (Chadema)  katika Manispaa ya Shinyanga wametanganza kujiuzulu nyadhifa zao wakidai uongozi ngazi ya taifa  wa chama hicho unaendekeza majungu na  kudhalilisha baadhi ya viongozi kwa kuwaita wahaini au wasaliti bila kuchambua ukweli. Madiwani hao, Sebastiani Peter  kutoka kata ya Ngokolo na Zacharia Mfuko kutoka kata ya Masekelo,

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>