Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Wananchi watishia kuwachoma moto wanajeshi wastaafu wa JWTZ wilayani Arumeru

$
0
0
Zaidi ya wakazi 300 wa kitongoji cha Olmapinuu katika kijiji cha Bwawani  wilaya ya Arumeru,  juzi waliwashikilia kwa saa sita askari  wanne wastaafu wa Jeshi la Wananchgi wa Tanzania (JWTZ) wakiwa na trekta lao wakidai kuwa wamevamia eneo la shamba la wanakijiji hao.  Wananchi hao waliwatishia wastaafu hao kuwa watawateketeza kwa moto endapo wataendelea kulima shamba hilo. Sakata

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles