Halimashauri ya jiji la Arusha imebomoa nyumba zaidi ya 330
baada ya kushinda kesi iliyofunguliwa na waliokuwa wapangaji
waliokuwa wakipinga amri ya kuhama kupisha zoezi la ujenzi wa
nyumba za kisasa.
Mradi wa ujenzi wa nyumba za kisasa unatekelezwa na Halmashauri ya jiji kwa kushirikiana na wadau mbali mbali.
Bomoa bomoa hiyo ilianza jana alfajiri na
↧