Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Binti wa kitanzania abakwa na kuafriki dunia....Alikuwa nchini China AKIJIUZA , Wanaume watano wa kinigeria wadaiwa kuhusika

$
0
0
Kumeibuka mchezo mchafu, kuna Watanzania wanawachukua warembo nchini na kuwapeleka China kwa ahadi kwamba wanakwenda kufanya kazi saluni, wakifika kule wanawanyang’anya paspoti na kuwauza kwa wanaume (ukahaba), sasa yamemkuta Mbongo aitwaye Sabrina au Habiba.... Habari za uhakika kutoka kwa chanzo chetu nchini humo zilisema kuwa, Sabrina (24), alifariki dunia Alhamisi iliyopita

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>