Waziri
wa Ujenzi,Dkt. John Pombe Magufuli amesafiri akitokea Mkoani Dodoma
anakohudhuria Vikao vya Bunge la Katiba na kwenda moja kwa moja Morogoro
maeneo ya Mikese (Kilomita kumi kutoka Mzani wa Mikese kuelekea Dar),
ambapo magari mawili yaligongana na kuteketea kwa moto na kusababisha
kifo cha mtu mmoja alietambulika kwa jina la Moud Amin.
Ajali
hiyo ambayo imetokea mapema
↧