Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Picha za waziri Magufuli alipotembelea AJALI ya magari yaliyoteketea kwa moto eneo la Mikese mkoani Morogoro leo

$
0
0
Waziri wa Ujenzi,Dkt. John Pombe Magufuli amesafiri akitokea Mkoani Dodoma anakohudhuria Vikao vya Bunge la Katiba na kwenda moja kwa moja Morogoro maeneo ya Mikese (Kilomita kumi kutoka Mzani wa Mikese kuelekea Dar), ambapo magari mawili yaligongana na kuteketea kwa moto na kusababisha kifo cha mtu mmoja alietambulika kwa jina la Moud Amin. Ajali hiyo ambayo imetokea mapema

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>