Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Picha za AJALI mbaya ya malori iliyotokea Mikese Morogoro ambapo DEREVA mmoja wa lori amepoteza maisha,,,,,,,,,,,,,

$
0
0
Baadhi ya watu waliokwama kijiji cha Fulwe kata ya Mikese mkoani Morogoro wakiangalia mwili wa dereva wa lori lililobeba shehena ya mafuta lililokuwa likitoka Dar kueleka upande wa Morogoro, ukiwa umeteketea vibaya kwa moto baada ya ajali. Mwili wa dereva wa lori la mafuta ukiwa umeteketea kwa moto.    Ajali  mbaya  imetokea leo katika kijiji cha Fulwe, kata ya Mikese mkoani

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>