Baadhi ya watu waliokwama kijiji cha Fulwe kata ya Mikese
mkoani Morogoro wakiangalia mwili wa dereva wa lori lililobeba shehena
ya mafuta lililokuwa likitoka Dar kueleka upande wa Morogoro, ukiwa
umeteketea vibaya kwa moto baada ya ajali.
Mwili wa dereva wa lori la mafuta ukiwa umeteketea kwa moto.
Ajali mbaya imetokea leo katika kijiji cha Fulwe, kata ya Mikese mkoani
↧