Rais
Jakaya Mrisho Kikwete akiwa na Marais wastaafu Alhaj Ali Hassan Mwinyi
na Mzee Benjmin William Mkapa baada ya kuwasili katika hafla ya harambee
ya kuchangia ujenzi wa wodi ya dharura kwa watoto pamoja na vifaa vyake
katika hospitali ya Taifa ya Muhimbili. Kati ya kiasi cha shilingi 1bn/
zilizohitajika, jumla ya shilingi 602,080,000/- zilipatikana katika
harambee hiyo iliyofanyika
↧