Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Mwalimu auawa na wananchi baada ya kumchinja mwanafunzi

$
0
0
Mwalimu  wa madrasa ya  Ali Munawar, ustaadhi Mohamed Ngulanjwa (36)  wa Mbagala Mianzini jijini Dar es Salaam, ameuawa baada ya kumchinja mwanafunzi wake. Ustaadhi huyo aliyekuwa mwalimu wa  madrasa  na shule ya awali ya Ali Munawar, alimchinja mwanafunzi huyo  jana saa 12.10  jioni kwenye eneo la madrasa baada ya  kutenganisha  kichwa na kiwiliwili Kaimu Kamanda wa Polisi wa Mkoa

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>