Mwalimu wa madrasa ya Ali Munawar, ustaadhi Mohamed Ngulanjwa (36)
wa Mbagala Mianzini jijini Dar es Salaam, ameuawa baada ya kumchinja
mwanafunzi wake.
Ustaadhi huyo aliyekuwa mwalimu wa madrasa na shule ya awali ya Ali
Munawar, alimchinja mwanafunzi huyo jana saa 12.10 jioni kwenye eneo
la madrasa baada ya kutenganisha kichwa na kiwiliwili
Kaimu Kamanda wa Polisi wa Mkoa
↧