Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Hii ni kauli ya mwanafunzi aliyeshika nafasi ya kwanza kitaifa katika matokeo ya kidato cha nne.....Aliyeshika nafasi ya tatu apata mshituko, azimia

$
0
0
Mwanafunzi aliyeshika nafasi ya tatu kwa ufaulu kitaifa katika Matokeo ya Mtihani wa Taifa wa Kidato cha Nne wa 2013, jana alipoteza fahamu kwa muda baada ya kupata matokeo hayo.    Mwanafunzi huyo, Joyceline Marealle wa Shule ya Sekondari Canossa ya Dar es Salaam, alipatwa na mkasa huo muda mfupi baada ya mwandishi wa gazeti hili kumpigia simu na kumweleza matokeo hayo.  

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>