Watahiniwa wa kike wamefanya vizuri kwa kuchukua nafasi saba
kati ya 10 za juu, huku Shule ya Marian Girls ya Pwani ikiongoza kwa
kuwa na wanafunzi wanne.
Mwanafunzi aliyeongoza ni Robina Nicholaus wa
Shule ya Marian Girls, akifuatiwa na Magrath Kakoko wa St Francis
(Mbeya) wakati wa tatu ni Joyceline Marealle kutoka Shule ya Canossa
(Dar es Salaam).
↧