Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Matokeo ya kidato cha nne 2013 yatangazwa...Bofya hapa ujionee

$
0
0
Baraza la mitihani la Taifa, NECTA, limetangaza matokeo ya mtihani wa kidato cha nne uliofanyika mwezi November mwaka jana, huku kiwango cha ufaulu wa masomo ukipanda kati ya asilimia 0.16 na 16.72 ikilinganishwa na mwaka 2012, na wasichana wakiibuka kidedea katika ufaulu wa jumla kitaifa. Jumla ya watahiniwa 235,227 sawa na asilimia 58.25 ya watahiniwa wote wamefaulu mtihani, idadi ya

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles