Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Diamond kuhudhuria tuzo za 'AFRIMMA' zitakazofanyika Texas Marekani, zitahusisha wasanii wakubwa Afrika

$
0
0
  July 26 mwaka huu, wasanii wengi wakubwa Afrika kutoka katika mataifa ya 17 watakutana Dallas, Texas, Marekani kuhudhuria utoaji wa tuzo za kiafrika zinazojulikana kama ‘AFRIMMA Awards’, na tayari Diamond Platinumz tayari ameshaonesha uthibitisho wa kuwa katika daftari la mahudhurio siku hiyo.   Diamond amepost kwenye Instagram video inayomuonesha akifanya promo maalum

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>