July 26 mwaka huu, wasanii wengi wakubwa Afrika kutoka katika mataifa
ya 17 watakutana Dallas, Texas, Marekani kuhudhuria utoaji wa tuzo za
kiafrika zinazojulikana kama ‘AFRIMMA Awards’, na tayari Diamond
Platinumz tayari ameshaonesha uthibitisho wa kuwa katika daftari la
mahudhurio siku hiyo.
Diamond amepost kwenye Instagram video inayomuonesha akifanya promo
maalum
↧