BARAZA la Maaskofu wa Kipentekoste nchini (PCT), limeshauriwa kuonesha kitabu kilichosainiwa na watumishi Ofisi ya Rais, Ikulu baada ya kuwasilisha majina yaliyopendekezwa kwa ajili ya uteuzi wa wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba.
Mwenyekiti wa Ushirika wa Wachungaji wa Kipentekoste nchini, Askofu Pius Ikongo, alisema hayo Dar es Salaam jana wakati akizungumza na Majira.
Alisema ili
↧