SIMU ya Kichina imezua balaa katika Mahakama Kuu Kanda ya Dar es
Salaam Jumatano iliyopita wakati wa usikilizwaji wa kesi ya Katibu wa
Jumuiya ya Kiislamu, Shehe Ponda Issa Ponda, Ijumaa linakupa habari
kamili.
Tukio hilo la aina yake lilitokea baada ya simu ya Kichina ya mmoja
wa wafuasi wa Shehe Ponda aliyefahamika kwa jina la Shehe Kitula kuita
wakati shughuli za kimahakama
↧