Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Umoja wa Mataifa waiomba Tanzania kupeleka wanajeshi ( JWTZ ) Sudan Kusini kwa ajili ya kulinda amani.....Hii ni kutokana na ubora uliotukuka wa jeshi letu

$
0
0
Serikali inatarajia kupeleka kikosi kimoja cha Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) huko Sudan Kusini kwa ajili ya kulinda amani kutokana na vita ya wenyewe kwa wenyewe inayoendelea.    Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe alisema Dar es Salaam jana kwamba Serikali imekubali kupeleka batalioni moja baada ya kuombwa na Umoja wa Mataifa (UN).  

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>