Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Baada ya CHADEMA kuweka pingamizi, CCM yamwaga VIELELEZO Kuthibitisha kuwa Godfrey Mgimwa ni Raia wa Tanzania

$
0
0
Bw. Godfrey Mgimwa akiwa ameshika Passport yake aliyokuwa akiwaonesha waandishi wa habari leo katika ofisi kuu za CCM mkoa wa Iringa alipokutana na waandishi wa habari   *** Chama cha Mapinduzi (CCM) kimekanusha madai yaliyotolewa kwenye pingamizi na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kwamba mgombea wao (CCM) katika Jimbo la Kalenga, Godfrey William Mgimwa, siyo Mtanzania

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>