Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Uganda yapiga marufuku vimini, vitopu na mavazi mengine ya nusu uchi.....Atakaye kaidi, atafungwa jela miaka 10 mpaka 15

$
0
0
RAIS Yoweri Museveni amesaini sheria ambayo inaharamisha mavazi yasiyo ya heshima na picha za utupu.  Pia, wanawake wamepigwa marufuku kuvaa nguo fupi - vimini na blauzi fupi – vitopu, ambavyo vinashawishi hisia za ngono, isipokuwa kama vivazi hivyo vitatumika kwa madhumuni ya kutoa elimu au matibabu au kutumika kwenye michezo na utamaduni.   Akizungumza na waandishi wa habari katika

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>