Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Baada ya wabunge kuikataa posho ya sh. 300,000 kwa siku, Mwenyekiti ameamua kuunda tume ya watu 6 itakayotazama jinsi ya kuboresha viwango vya posho hizo.

$
0
0
Suala la posho limezidi kuwa kaa la moto katika vikao vya Bunge la Katiba vinavyoendelea mjini Dodoma leo, hali iliyomlazimu mwenyekiti wa muda, Pandu Ameir Kificho ateue timu maalum ya watu 6 kutazama jinsi ya kuboresha viwango vya posho hizo.    Timu hiyo inatarajiwa kuyachunguza kwa undani mahitaji ya wajumbe wa Katiba, kisha kuisaidia serikali kutafuta jinsi ya kuongeza posho hizo

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>