Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Familia ya watu watatu yahamishia makazi yake chooni

$
0
0
FAMILIA ya watu watatu akiwemo mtoto wa umri wa miaka saba imelazimika kuhamishia makazi chooni baada ya paa la nyumba waliyokuwa wakiishi kuezuliwa na upepo mkali ulioambatana na mvua iliyonyesha wiki iliyopita katika Wilaya ya Hai.   Familia hiyo ya Aziza Mohamed (55), mwanae wa kiume, Sikujua  Aloyce (40)  na mjukuu wake wakazi wa Kitongoji cha Kijiweni, Kijiji cha

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>