Watoto
mapacha kutoka wilayani Kyela mkoani Mbeya waliokuwa wamepelekwa na
serikali chini ya Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii kufanyiwa upasuaji
mkubwa wa kuwatenganisha wakiwasili nchini Tanzania kutokea nchini India
walipokuwa wakipatiwa matibabu katika hospitali ya watoto ya Appolo.
Kulia ni Mkuu wa Kitengo cha Magonjwa ya Nje wa Wizara ya Afya na Ustawi
wa Jamii Dkt. Edward Sawe,
↧