Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Bunge la Katiba: Wadau walaumu mume na mkewe kuteuliwa kukiwakilisha chama.... Ni chama cha NLD ambapo mwenyekiti wake alijiteua yeye na mkewe.

$
0
0
Habari kwa mujibu wa gazeti la MWANANCHI — Chama cha National League for Democracy (NLD) Zanzibar kimemtaka, Rais Jakaya Kikwete kufuta uteuzi wa wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba kupitia chama hicho kwa madai kuwa walioteuliwa katika chama hicho ni mtu na mkewe na kufanya uteuzi huo kukosa sura ya Muungano. Tamko hilo limetolewa na Naibu Katibu Mkuu wa NLD - Zanzibar, Khamis Haji

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>