Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Ombi la kesi ya Sheikh Ponda kusikilizwa Februari 26 mwaka huu....

$
0
0
Mahakama Kuu Tanzania, Kanda ya Dar es Salaam imesema itasikiliza maombi ya kufanya marejeo kuhusu kuliondoa shitaka la kukaidi amri halali iliyotolewa na Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam dhidi ya Katibu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu nchini, Sheikh Ponda Issa Ponda (pichani) Februari 26, mwaka huu. Hatua hiyo  imefikiwa jana mahakamani hapo  baada ya Sheikh

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>