LORI la mafuta limeanguka jioni hii katika eneo la milima ya sekenke mkoani Singida na kuua watu wanne papohapo.
Chanzo cha
ajali hiyo ni kufeli breki lori hilo kukamata moto wakati lilipokuwa
linashuka milima hiyo. Shuhuda wa ajali hiyo, bwana Julius Chacha
alipoongea na Dj Sek Blog amesema kuwa lori hilo lilipoacha njia
lilipinduka na kuingia bondeni na kushika moto.
↧