Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Ajali mbaya: Lori la mafuta ladondoka mlima Sekenke na kuua watu wanne papo hapo

$
0
0
  LORI la mafuta limeanguka jioni hii katika eneo la milima ya sekenke mkoani Singida na kuua watu wanne papohapo.   Chanzo cha ajali hiyo ni kufeli breki lori hilo kukamata moto wakati lilipokuwa linashuka milima hiyo. Shuhuda wa ajali hiyo, bwana Julius Chacha alipoongea na Dj Sek Blog amesema kuwa lori hilo lilipoacha njia lilipinduka na kuingia bondeni na kushika moto.  

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>