CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kimempa siku tatu Rais Jakaya Kikwete awe amefuta kauli yake aliyoitoa Februari 15 mwaka huu, mjini Dodoma baada ya kufunga Kikao cha Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC).
Kauli hiyo ni ile iliyowataka wanachama wa CCM kuacha unyonge badala yake wajibu mapigo ya wapinzani hasa wanaoendesha siasa za vurugu katika kampeni za uchaguzi.
Rais Kikwete
↧