JEURI ya wazi inayoonekana kuwemo ndani ya taarifa ambazo zimekuwa zikichapishwa mara kwa mara na vyombo vya habari vya serikali ya Rais Paul Kagame wa Rwanda dhidi ya Rais Jakaya Kikwete na serikali yake, inaelezwa kujengwa na ushirika wake wa kiintelijensia alioupandikiza ndani ya mfumo wa serikali na taasisi mbalimbali hapa nchini,MTANZANIA limedokezwa.
Taarifa zilizolifikia gazeti
↧