Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

"Fedha chafu zinachochea uhalifu nchini "...Hii ni kauli ya naibu waziri wa mambo ya ndani wakati akifungua mkutano wa maofisa wakuu waandamizi wa Jeshi la Polisi

$
0
0
NAIBU Waziri wa Mambo ya Ndani, Perreira Ame Silima, amesema uwepo wa fedha chafu nchini umechangia kuendelea kukua kwa uhalifu.  Kwa mujibu wa naibu waziri huyo, matendo hayo ya uhalifu ni usafirishaji wa dawa za kulevya, biashara ya binadamu na mitandao ya kigaidi nchini.   Akifungua mkutano wa siku sita wa wakuu na maofisa wakuu waandamizi wa Jeshi la Polisi kwenye ukumbi wa

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>