Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Lulu Michael akiri mahakamani kuwa alikuwa na uhusiano wa kimapenzi na Kanumba, akana mashitaka ya kuua bila kukusudia na kueleza kilichotokea

$
0
0
Mwigizaji maarufu wa filamu nchini, Elizabeth Michael Kimemeta, amekiri mahakamani kuwa na uhusiano wa kimapenzi na aliyekuwa mwigizaji mwenzake, Steven Kanumba na pia kuwa ugomvi na Kanumba siku ya tukio la kifo cha mwigizaji huyo, lakini akakana mashtaka ya kumuua bila kukusudia.    Lulu ambaye yuko nje kwa dhamana anakabiliwa na kesi hiyo katika

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles