Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Naibu Mwanasheria mkuu wa serikali aiomba mahakama kuu iitupilie mbali kesi ya kikatiba inayomkabili waziri mkuu, Mizengo Pinda

$
0
0
NAIBU Mwanasheria Mkuu, Mhe George Masaju (pichani) amedai mahakamani katika kesi ya kikatiba iliyofunguliwa na Kituo cha Haki za Binadamu (LHRC) na Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS) dhidi  ya  Waziri Mkuu Mizengo Pinda kwamba kwa mujibu wa katiba mamlaka ya mahakama kuingilia mwenendo wa bunge yameondolewa.   Pia, Mhe Masaju amedai kuwa kwa mujibu wa Katiba ya nchi

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>