Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Godbless Lema anusurika kukamatwa na jeshi la Polisi kutokana na WARAKA wake unaomhusu Rais Kikwete aliouposti kwenye mtandao wa kijamii

$
0
0
Mbunge wa Jimbo la Arusha, Godbless Lema jana alinusurika kukamatwa na makachero wa Jeshi la Polisi ili kuhojiwa kutokana na ujumbe wake aliouposti kwenye mtandao wa kijamii akiandika: “Rais Kikwete mbona umeamua kuliangamiza taifa.”   Akizungumza na gazeti  la  Mwananchi  jana akiwa njiani kuelekea Dodoma kushiriki Kikao cha Bunge la Katiba, Lema

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>