Serikali
imesema inatarajia kuwa kodi ya ving'amuzi itashuka ili kuhamasisha
kampuni nyingi zaidi kujitokeza kuuza vifaa hivyo kwa wananchi, tofauti
na sasa.
Hayo yalisemwa mjini hapa mwishoni mwa wiki na Naibu Waziri wa
Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, Januari Makamba, wakati akifunga
mkutano wa jukwaa la kujadili mchakato wa kuhama kutoka mfumo wa
analojia kwenda digitali,
↧