Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Benard Membe amchokonoa Edward Lowassa kiaina ....Adai kuwa ikitokea kada yeyote wa CCM mwenye PESA akawa Rais, lawama zote zitaelekezwa kwa waandishi wa habari

$
0
0
WAZIRI wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernad Membe, amekitaka Chama Cha Mapinduzi (CCM), kutoruhusu mtu yeyote kununua urais kama njugu.   Alitahadharisha kuwa kama itatokea kada yeyote wa CCM amepata urais kwa kununua kama njugu, waandishi wa habari nchini watakuwa wa kwanza kulaumiwa kwa kuwasaidia kuwaingiza madarakani watu wa aina hiyo.   Ingawa Waziri Membe hakutaja

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>