Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Wajumbe wa Bunge la Katiba kulipwa sh. 300,000 kwa siku na siyo sh. 700,000/= kama ilivyodaiwa hapo awali

$
0
0
Katibu wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk Thomas Kashillilah, amewaambia waandishi wa habari kuwa  Bunge Maalumu la Katiba litazinduliwa rasmi Februari 26, 2014 huku kila mjumbe akilipwa posho ya shilingi laki tatu na siyo shilingi laki saba kama ilivyochapishwa katika baadhi ya vyombo vya habari. “Sisi tumesikia kuwa Wabunge wa Bunge la Katiba wanalipwa 700,000 na wala

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles