Waziri
wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa,Ndugu Bernard Membe
akizungumza na waandishi wa habari baada ya kumaliza kuhojiwa na Kamati
Ndogo ya Maadili ya CCM mjini Dodoma leo Februari 16,2014.
Waziri
wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa,Ndugu Bernard Membe
akizungumza na waandishi wa habari nje ya Ukumbi wa NEC mara baada ya
kuhojiwa na Kamati Ndogo ya Maadili
↧