Moja
ya mabango yaliyozinduliwa na Rais Jakaya Kikwete usiku wa kuamkia leo
katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es
salaam kwa ajili ya kuhamasisha wananchi kupiga vita mauaji ya Tembo na
Faru nchini. Hafla hii ilifanyika muda mfupi kabla Rais Kikwete
hajapanda ndege kuelekea London, Uingereza, kuhudhuria mkutano wa
kimataifa wa kupanga mikakati ya kupambana
↧