MISS Tanzania 2011, Salha Israel ameweka bayana bila ya woga wowote
kuwa, kwenye pochi yake hakaukiwi na mipira ya kiume ‘kondom’...
Salha alisema hayo, juzi Jumanne katika mahojiano maalum na Global Publishers.
Katika mahojiano hayo, Salha
aliwekwa mtu kati ambapo alifafanua ishu hiyo pamoja na mambo mengine
ndani na nje ya urembo, bila kusahau tasnia ya sinema ambayo kwa sasa
↧