Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Serikali yapigilia msumari matumizi ya mashine za EFD kwa wafanyabiashara wanaogoma....Yadai kuwa msimamo wake uko pale pale na kamwe hautabadilika

$
0
0
SERIKALI imeonya kuwa, mashine za kielektroniki (EFD) zisiwe chanzo cha kuvuruga amani ya nchi, na zitaendelea kutumika kwa mujibu wa sheria.   Imesema msimamo wake uko pale pale na kamwe hautabadilika.   Kwa mujibu wa serikali, hakuna sababu ya kuendelezwa mjadala huo, kikubwa ni wafanyabiashara kufuata sheria za nchi.   Waziri wa Fedha, Saada Mkuya Salum, akizungumza kwa simu

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>