SERIKALI
imeonya kuwa, mashine za kielektroniki (EFD) zisiwe chanzo cha kuvuruga
amani ya nchi, na zitaendelea kutumika kwa mujibu wa sheria.
Imesema msimamo wake uko pale pale na kamwe hautabadilika.
Kwa mujibu wa serikali, hakuna sababu ya kuendelezwa mjadala huo, kikubwa ni wafanyabiashara kufuata sheria za nchi.
Waziri wa
Fedha, Saada Mkuya Salum, akizungumza kwa simu
↧