Umoja wa Wabunge wa Hifadhi ya Wanyamapori na Mazingira (TPGSNRCU),
umemshukia mbunge wa Iringa Mjini Mchungaji Peter Msingwa (CHADEMA),
ukidai ni msaliti na mnafiki.
Umoja huo umesema kauli zilizotolewa na Msigwa alipozungumza na
mwandishi wa gazeti la Daily Mail la Uingereza, kuwa serikali haifanyi
juhudi za kulinda rasilimali hazina ukweli.
Pia umemtaka Msigwa kuwa mzalendo na
↧