Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Tume ya Uchaguzi yatoa Taarifa kuhusu uchaguzi wa Ubunge Kalenga

$
0
0
TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI UCHAGUZI MDOGO WA UBUNGE JIMBO LA KALENGA Tume ya Tifa ya Uchaguzi imepokea barua kutoka kwa Mhe. Spika wa BUNGE la Jamhuri ya Muungano Tanzania ya kuiarifu uwepo wa nafasi wazi ya Ubunge katika Jimbo la Kalenga lililopo katika Halmashauri ya Wilaya ya Iringa Vijijini, kufuatia kifo cha Mbunge wa Jimbo hilo Mhe. William Mgimwa aliyefariki dunia tarehe 1/

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>