TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI
UCHAGUZI MDOGO WA UBUNGE JIMBO LA KALENGA
Tume ya Tifa ya Uchaguzi imepokea barua kutoka kwa Mhe. Spika wa
BUNGE la Jamhuri ya Muungano Tanzania ya kuiarifu uwepo wa nafasi wazi
ya Ubunge katika Jimbo la Kalenga lililopo katika Halmashauri ya Wilaya
ya Iringa Vijijini, kufuatia kifo cha Mbunge wa Jimbo hilo Mhe. William
Mgimwa aliyefariki dunia tarehe 1/
↧