Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Baada ya ajali mbaya ya ndege... Algeria yatangaza siku tatu za maombolezo.....

$
0
0
Ndege aina ya Hercules C-130 baada ya kupata ajali Algeria imeanza siku tatu za maombolezi ya kitaifa kufuatia ajali ya ndege iliyowaua watu 77 Kaskazini Mashariki mwa nchi hiyo.   Abiria mmoja alinusurika ajali hiyo iliyohusisha ndege aina ya Hercules C-130 iliyoanguka katika eneo la milima ya Oum al-Bouaghi, ikiwa njiani kuelekea mji wa Constantine.   Kikosi cha uokoaji

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>