Ndege aina ya Hercules C-130 baada ya kupata ajali
Algeria imeanza siku tatu za maombolezi ya kitaifa kufuatia ajali ya ndege iliyowaua watu 77 Kaskazini Mashariki mwa nchi hiyo.
Abiria mmoja alinusurika ajali hiyo iliyohusisha ndege aina ya
Hercules C-130 iliyoanguka katika eneo la milima ya Oum al-Bouaghi,
ikiwa njiani kuelekea mji wa Constantine.
Kikosi cha uokoaji
↧