Kamati
I ya Uhakiki wa Fedha za Mfuko wa Jimbo la Bahi Mkoani Dodoma
iliyoundwa na Baraza la Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Bahi,
imemtia hatiani na kumuweka katika wakati mgumu Mbunge wa jimbo hilo,
Omary Badwel, baada ya kubaini amehusika katika ubadhilifu wa mamilioni
ya fedha za mfuko huo.
Kutokana na hali hiyo, kamati hiyo imependekeza Baraza la Madiwani wa
halmashauri hiyo
↧