Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Mbunge wa CCM Badwel yupo kitanzini tena

$
0
0
Kamati I ya Uhakiki wa Fedha za Mfuko wa Jimbo la Bahi Mkoani Dodoma iliyoundwa na Baraza la Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Bahi, imemtia hatiani na kumuweka katika wakati mgumu Mbunge wa jimbo hilo, Omary Badwel, baada ya kubaini amehusika katika ubadhilifu wa mamilioni ya fedha za mfuko huo. Kutokana na hali hiyo, kamati hiyo imependekeza Baraza la Madiwani wa halmashauri hiyo

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>